Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud akizungumza na wanahabari.
Pages - Menu
▼
Tuesday, March 24, 2015
Monday, March 16, 2015
Wednesday, March 11, 2015
DK.SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA

Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Balozi wa China Nchini Tanzania Dr.Lu Youqing alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar (kulia) Balozi Mdogo wa China anayefanyia kazi
Zanzibar Xie Yunliang.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akizungumza na Balozi wa China Nchini Tanzania Dr.Lu Youqing alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akifuatana na mgeni wake Balozi wa China Nchini Tanzania Dr.Lu Youqing
baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika alipofika Ikulu Mjini
Zanzibar.[Picha na Ikulu.]


