MADAI!
Huku zikiwa zimepita siku chache tangu igundulike kwamba muigizaji,
Aunt Ezekiel kuwa na mimba ambayo inasadikiwa kuwa si ya mume wake
(Sunday Demonte), ndugu wa mume huyo wameibuka na kutaka kumfikisha
Bakwata (Baraza Kuu la Waislamu Tanzania).
Wednesday, December 10, 2014
10:33 PM
Hon.Cisko
10:28 PM
Hon.Cisko
ACHANA
na watu kibao waliojitokeza mitandaoni na kudai wana undugu na mshindi
wa Shindano la Bigbrother Hotshot (2014), Idris Sultan (21), mwigizaji
Elizabeth Michael ‘Lulu’ ndiye mtu wa kwanza kabisa kujinadi kuwa na
urafiki na mshindi huyo aliyejinyakulia zawadi ya shilingi milioni 510.
Monday, December 8, 2014
3:52 AM
Hon.Cisko

Meneja
Uhusiano wa Kampuni ya Airtel Tanzania,Jackson Mmbando akiongea na
waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi huduma mpya ya
HOME WI-FI itakayowawezesha wateja wake watumiaji INTANETI kufurahia
kutumia kifurushi kimoja familia nzima kwa kuwaunganisha na Wi-fi watu
32 ndani ya familia na kuunganisha wanafamilia wengine wanne waliopo
mahali popote nchini Tanzania kufurahia internet ya 3.75G. kulia ni
Meneja Masoko wa Airtel Home WiFi, Gaurav Dhingra.
Sunday, December 7, 2014
10:14 PM
Hon.Cisko
Habari mbaya! Mpenzi msomaji tunasikitika kukujuza kwamba ile ndoa iliyosubiriwa kwa hamu kubwa imeyeyuka baada ya uchumba wa staa wa Bongo Fleva aliyeiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’, Feza Kessy na jamaa kutoka Botswana, Oneal umeanguka chali.
10:12 PM
Hon.Cisko
Kaka mtu aliyejitambulisha kwa jina moja la Nicholaus kwa kushirikiana
na Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, amesimamia
fumanizi la dada’ke ambaye ni denti wa sekondari moja jijini Dar (majina
yanahifadhiwa kwa sababu maalum) ambapo alimfumania chumbani na njemba
mmoja sharobaro aliyetajwa kwa jina la Abuu Ally, mkazi wa
Mbagala-Charambe, Dar.
10:01 PM
Hon.Cisko
Hizo ndizo kauli zilizozagaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii mara baada ya habari ya kurekodiwa video ya utupu ya mwanadada anayedaiwa kuwa mwandani mpya wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ kuchapishwa gazetini nchini Uganda, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.
Subscribe to:
Posts (Atom)
RSS Feed
Twitter