PAMOJA na tetesi kuwa nguli wa filamu za Kibongo Blandina Chagula ‘Johari’, ameshindwa kushika mimba, mwenyewe ameamua kufunguka na kudai kuwa kizazi chake kinafanya kazi na anachosubiri ni kumpata mwanaume ambaye atakuwa tayari kumuoa ndipo atakaporuhusu
Wednesday, December 17, 2014
9:44 PM
Hon.Cisko
KWA mara ya kwanza ndani ya Global TV Online ya Global Publishers, supastaa ndani na nje ya Bongo kutoka muziki wa Kizazi Kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amewafungukia waliowahi kuwa wapenzi wake, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, Wema Sepetu ‘Madam’ na Penniel Mungilwa ‘Penny’ kuwa waligoma kumzalia mtoto.
Monday, December 15, 2014
9:42 PM
Hon.Cisko
Huyu ndiye mtekaji raia wa Iran, Haron Monis.
WATU watatu wameuawa akiwemo mtekaji raia wa Iran, Haron Monis
aliyekuwa ameteka watu kwa zaidi ya saa 16 katika mgahawa mmoja jijini
Sydney nchini Australia jana baada ya Makomando kuvamia eneo hilo. Watu
wanne akiwemo polisi wamejeruhiwa wakati wa zoezi la uokoaji.
9:41 PM
Hon.Cisko
HUZUNI,
vilio, majonzi vilitawala kwa wakazi wa Kiabakari na vitongoji vyake
kufuatia Mwalimu Alfred Ghozi (26) (pichani) wa Shule ya Sekondari ya
Kukirango iliyopo Kata ya Kukirango, Halmashauri ya Butiama mkoani Mara
kukutwa amechinjwa kama kuku kwa kutumia panga, Uwazi lina mkasa wote.
9:32 PM
Hon.Cisko
WIKI iliyopita katika simulizi hii ya Diamond tuliishia pale ambapo staa huyo aliongelea namna wimbo wake wa Mbagala ulivyopendwa kiasi cha kumfanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ‘JK’ kumteua kuwa mburudishaji kwenye ziara za kampeni ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, mwaka 2010.Wiki hii tunaendelea…
Wednesday, December 10, 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)
RSS Feed
Twitter