Wanafunzi wakiwa nje ya jengo lililoungua wakati wakitafakari pakwenda.
Baadhi ya wanafunzi wakitafuta pakujihifadhi baada ya janga hilo.
Katika tukio hilo wanafunzi wawili wamekimbizwa hospitali baada ya kuumia katika purukushani za kujiokoa ambapo mmoja alijirusha kutoka ghorofa ya pili ulipoanzia moto huo na mwingine aliumia kwenye mkanyagano wakati wa kujiokoa.
0 comments:
Post a Comment