Waziri wa kazi na ajira mhe.Gaudencia Kabaka
Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa kumaliza
mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka
madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena katika Chuo cha Taifa
cha Usafirishaji (NIT)