Monday, April 13, 2015



Friday, April 10, 2015




Waziri wa kazi na ajira mhe.Gaudencia Kabaka
Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa kumaliza mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)
Design by hons.CISKO | Blogger Theme by CISKO