Friday, February 20, 2015



MWAKILISHI Mkazi wa Shirika la JICA nchini Tanzania, Onishi Yasunora akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba (kulia) wakati wa mkutano na waandishi wa kuzungumzia maendeleo ya miradi ya kuboresha na kukarabati miundombinu ya umeme hapa nchini. Mkutno huo ulifanyika Dar es Salaam. Pamoja nao ni Waziri pia mkuu wa Kazi wa Ubalozi wa Japan hapa Nchini, Kazuyoshi Matsunaga.

MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba akibadilishana mawasiliano na Waziri pia mkuu wa Kazi wa Ubalozi wa Japan hapa Nchini, Kazuyoshi Matsunaga kabla ya mkutano na wanahabari jijini Dar es Salaam.
MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba akisalimiana na mmoja wa wadau wa Japan waliohudhuria mkutano na wanahabari uliohusu maendeleo ya miradi ya ukarabati wa miundombinu ya umeme Dar es Salaam.
MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba akimtambulisha Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji, Mhandisi Sophia Mgonja kwa Mwakilishi Mkazi wa Shirika la JICA, Onishi Yasunora (kushoto) na Waziri pia mkuu wa Kazi wa Ubalozi wa Japan hapa Nchini, Kazuyoshi Matsunaga, wakati wa mkutano na waandishi wa kuzungumzia maendeleo ya miradi ya kuboresha na kukarabati miundombinu ya umeme hapa nchini.
Meneja Mawasiliano wa TANESCO, Leila Mhaji akijitambulisha 
wakati wa mkutano huo ulifanyika Dar es Salaam.
MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO, Mhandisi Felchesm Mramba akiongea na wadau wa maendeleo kutoka Japan wakati wa mkutano na waandishi wa kuzungumzia maendeleo ya miradi ya kuboresha na kukarabati miundombinu ya umeme hapa nchini. Mkutano huo ulifanyika Dar es Salaam.
 
Maofisa Mawasiliano wa TANESCO, Neema Mbuja (kulia) na Salama wakifuatilia mkutano huo. 

0 comments:

Post a Comment

Design by hons.CISKO | Blogger Theme by CISKO