
3:32 AM

Hon.Cisko
Mfanyabiashara
na mmiliki wa duka la dawa katika eneo la Mrombo Arusha Bi elizabeth
mshana akiongea na Afisa Uhusiano wa Airtel Jane Matinde juu ya huduma
ya kufanya malipo kwa kutumia kadi ya Airtel Money Near Field
Communication (NFC) based solution ya Airtel Money. kadi hii maalum
inamuwezesha mteja kufanya malipo kwa haraka kwa kugusisha kwenye kifaa
maalum tu mara moja, kisha kuweka nambari ya siri na kufanya malipo
mahali popote. kwa sasa huduma hii imeanza kufanya kazi mkoani Arusha.
Huduma hii ya Near Field Communication (NFC) yaani kulipa kwa kugusisha
kadi na kifaa tu kupitia huduma za kifedha kwa njia ya mtandao ni
yakwanza kuzindulia nchini na kampuni ya simu za mkoni ya airtel.
Mfanyabiashara
wa duka la chakula katika eneo la Mrombo Arusha Bwana Elibariki Ngowi
akipokea malipo kutoka kwa mteja kwa kupitia kadi maalum ya Near Field
Communication (NFC) ya Airtel Money. , huduma imezinduliwa na Airtel
mkoani Arusha inawawezesha wateja wake kufanya malipo kwa kutumia kadi
hiyo maalumu kwa haraka bila huanza kupiga *150*60# hii unagusisha tu na
kulipa haraka kati kanti ni Afisa Uhusiano wa Airtel Jane Matinde
akishudia huduma hiyo inavyofanya kazi. Huduma hii ya Near Field
Communication (NFC) kupitia huduma za kifedha kwa njia ya mtandao ni
yakwanza kuzindulia nchini na kampuni ya simu za mkoni ya airtel
Mama
elizabeth mshana mmiliki wa duka la dawa akimuuzia mteja dawa kwa
kupitia kadi huduma iliyozinduliwa na Airtel mkoani Arusha
inayowawezesha wateja wake kufanya malipo kwa haraka zaidi kwa kutumia
kadi hiyo maalumu ya airtel Money yenye teknolojia ya Near Field
Communication (NFC) based ikiwa imeunganishwa na Airtel
Money.akishuhudia ni Afisa Uhusiano wa Airtel Jane Matinde. Huduma hii
ya Near Field Communication (NFC) kupitia huduma za kifedha kwa njia ya
mtandao ni yakwanza kuzindulia nchini na kampuni ya simu za mkoni ya
airtel
Afisa
uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya AIRTEL Jane Matinde
akimuelekeza Moja ya wateja bi Merry Ngowi jinsi ya kutumia kifaa na
kadi maalumu ambacho hutumika kukamilisha miamala ya malipo katika
maduka mbalimbali. Huduma hii ya Near Field Communication (NFC) kupitia
huduma za kifedha kwa njia ya mitandao ni yakwanza kuzindulia nchini na
kampuni ya simu za mkoni ya airtel, tukio lifanyika mwishoni mwa wiki
mkoani arusha eneo la muromboo wakati wa uzinduzi huduma hiyo ambayo
inaleta njia salama, ya haraka na rahisi kwa wateja kufanya malipo.
0 comments:
Post a Comment