CHECK VIDEO YAKE..
Sunday, November 23, 2014


Geilson Santana Santos ‘Jaja’.
KLABU ya Yanga inatarajia kumsajili kiungo mkabaji mpya kutoka Brazil
Emerson De Oliveira Neves Rouqe kuziba nafasi hiyo iliyoachwa na
mshambuliaji Geilson Santana Santos ‘Jaja’ aliyekatisha mkataba wake na
klabu hiyo kutokana na kukabiliwa na matatizo ya kifamilia.

MWISHONI mwa wiki kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania iliibuka kinara wa pili kwa walipa kodi wakubwa na inaongoza katika kundi la sekta ya mawasiliano nchini ambapo haijawahi kutokea.
Akiongea katika kilele cha maadhimisho ya 8 ya Wiki ya Mlipa Kodi yaliyofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Mkurugenzi wa Kitengo cha Elimu ya walipa kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania,Richard Kayombo, aliyataja makampuni 3 yanayoongoza kwa kufuata kanuni bora za ulipaji kodi na utunzaji wa kumbukumbu za kulipa kodi nchini kuwa ni Kampuni ya Bia Tanzania, Kampuni ya Vodacom na Kampuni ya kutengeneza sigara.
Akiongea muda mfupi baada ya kutunukiwa kikombe na cheti cha ushindi kutoka kwa mgeni wa heshima ambaye alikuwa ni Waziri Kiongozi mstaafu wa Zanzibar Shamsi Vuai Nahodha, Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Kelvin Twisa alisema “Napenda kuishukuru Serikali kwa kutambua mchango wetu wa kuchangia mapato na vilevile nawashukuru wafanyakazi wote wa Vodacom na wateja wote ambao wanaendelea kutuweka mbele kwa ushirikiano wao na kutuamini ambapo tumeweza kuwa wachangiaji wakubwa.
Thursday, November 20, 2014
Wednesday, November 19, 2014
Tuesday, November 18, 2014


Kilimanjaro. The name itself is a mystery wreathed in clouds. It might mean Mountain of Light, Mountain of Greatness or Mountain of Caravans. Or it might not. The local people, the Wachagga, don't even have a name for the whole massif, only Kipoo (now known as Kibo) for the familiar snowy peak that stands imperious, overseer of the continent, the summit of Africa.



Whether you scroll through 'em while sipping that morning cup of coffee or use your lunch break to catch up on the latest news and gossip, nearly everyone reads blogs. There are thousands (if not millions) of options out there, which means it can be hard to know which writers are legit and which ones are just kinda... not so much. We picked 60 of our favorite blogs that are shaking up the health and wellness space by posting great content, interacting with readers, and generally providing kick-ass information to the Internet at large.
Specifically, we looked for blogs that feature actionable, useful, and positive posts that reflect Greatist's mission of living a healthy and happy life. We also looked at comments and engagement with readers, social media followers, quantity of posts, and design. These 60 site aren't the only blogs you should read, but they're a good place to start. Can't get enough? Check out last year's list for even more bloggy goodness.


The current Ebola outbreak is centered in three countries in West Africa: Liberia, Guinea, and Sierra Leone. Ebola does not pose a significant risk to the American public. There have been cases of Ebola diagnosed in the United States, and these recent cases have led the CDC to institute screening protocols for patients arriving from the three affected African countries at five major US airports.
Monday, November 17, 2014


Who
are the richest people in Tanzania? This question may be asked by
people in Tanzania who want to know the kind of wealth, amount of money,
and other resources their countrymen and women own.
There are indeed a lot of wealthy people in Tanzania, and this article will help you get to know some of them. Below is a listing of some of the richest people in Tanzania and what they own.
There are indeed a lot of wealthy people in Tanzania, and this article will help you get to know some of them. Below is a listing of some of the richest people in Tanzania and what they own.


Waziri Kiongozi Mstaafu wa awamu ya sita, Shamsi Vuai Nahodha.
Waziri Kiongozi Mstaafu wa awamu ya sita, Shamsi Vuai Nahodha amesema ipo haja ya kuendelea na Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa vile sababu zilizofanya kuundwa kwake baada ya vyama vya CCM na CUF kuunda serikali hiyo bado zipo.
Katika mahojiano haya maalum kati ya kiongozi huyo na gazeti hili yaliyofanyika hivi karibuni jijini Dar, Nahodha amezungumzia mengi kuhusu katiba mpya, Ukawa, serikali ya kitaifa, kujiuzulu kwake uwaziri, asichoweza kukisahahu katika uongozi wake kama Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), uchumi na kadhalika. Ungana nami ufahamu alichokisema:
Sunday, November 16, 2014


Mwanadada mwenye umbo la utata Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’
MWANADADA mwenye umbo la utata Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ ameibuka na kueleza kwamba mastaa wamegundua njia mpya ya kujiuza ambayo ni kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.
Akistorisha na gazeti hili, Aunt Lulu alisema mastaa wengi wa kike wanajiuza kwenye mitandao ambapo mapedeshee waliopo mikoa mbalimbali wakishaziona picha zao huwa wanawatafuta kwa udi na uvumba ambapo wanawapigia simu na kuwatumia fedha na tiketi za ndege ya kwenda na kurudi.…


Msanii wa filamu Bongo, Aisha Bui wakati akiwa katika ofisi za kusambaza filamu za Yuneda zilizopo Mbagala.
KESI ya msanii wa filamu Bongo, Aisha Bui ya kufanya fujo ofisini kwa msambazaji wa filamu akidai kutolipwa fedha zake za filamu bado ni ya moto ambapo msambazaji anazungumza na mwanasheria wake kisha kumburuza mwigizaji huyo mahakamani.
Chanzo makini kimedai kuwa, baada ya Aisha kulala polisi na kutoka kwa dhamana msambazaji huyo, Ngeze Yuneda anatarajia kumburuza mahakamani akidai amembambikizia madai mengi ya uongo.
Thursday, November 13, 2014



AFTER eating duck enough brains, while sindikizana romantic, staa Bongo Fleva, Randomly Abdul 'Diamond Platnumz' and pretty bright from Uganda, Zarinah Hassan aka Zari or The Boss Lady, have invented a chat to Airport International Julius Nyerere in Dar, Friday contains a full whip.
Subscribe to:
Posts (Atom)