Waziri
wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la
Kimataifa la siku tatu kuhusu Kinga ya Jamii lililoanza Disemba 15-17,
2014 jijini Arusha.
Waziri
wa Fedha Saada Mkuya Salum akisaini Azimio la Arusha kwa niaba ya
Serikali ya Tanzania ambalo lilipitishwa wakati wa kongamano la
Kimataifa la siku tatu kuhusu Kinga ya Jamii lililoanza Disemba 15-17,
2014 jijini Arusha.
0 comments:
Post a Comment