Tuesday, December 30, 2014


Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri.

Aliyekuwa Kocha msaidizi, Selemani Matola (kushoto) akifuatilia mazoezi.
Klabu ya Simba imewafukuza kazi Kocha Patrick Phiri raia wa Zambia na msaidizi wake Selemani Matola kutokana na matokeo mabaya ya timu.

0 comments:

Post a Comment

Design by hons.CISKO | Blogger Theme by CISKO