
MSANII
wa filamu Bongo, Deogratius Shija hivi karibuni alizua timbwili baada
ya kung’ang’ania kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura kwenye mtaa
ambao siyo wake.

Paparazi wetu alimtafuta Shija ambapo alisema:
“Ni kweli nilienda kujiandikisha mawakala wakakataa nisijiandikishe kwa sababu nilishahama mtaa ambapo nilizozana nao hivyo baada ya vurugu kuzidi polisi walikuja kuniondoa hata hivyo sikujiandikisha, kura sitapiga.”
0 comments:
Post a Comment