Tuesday, December 23, 2014


Sir Elton John akikata keki na mpenzi wake David Furnish.

Elton John akikata keki kwa ajili ya kumpatia mtoto wao wa kwanza Zachary.
 
Sir Elton John akisaini hati ya ndoa. Pembeni ni David Furnish.
Sherehe ya harusi ikiendelea.
Wanandoa hao katika pozi.

Familia ya David na Victoria Beckham ikiwasili eneo la sherehe.
Msafara wa magari ya waalikwa katika sherehe hiyo.
GWIJI  wa muziki wa Rock Uingereza, Sir Elton John juzi alifunga ndoa na mpenzi wake David Furnish ikiwa ni miaka tisa tangu Desemba 21, 2005 walipoingia katika uhusiano huo wa watu wenye jinsia moja.
Walifunga ndoa mbele ya wanafamilia, marafiki na wageni wachache walioalikwa huko Windsor nchini England.
Waalikwa wengi wao walikuwa watu maarufu wakiwemo: Familia ya David na Victoria Beckham, David Walliams na mkewe Lara Stone, Liz Hurley na mwanaye Damian, waliowasili kwa usafiri wa gari katika eneo la sherehe.
Beckham alikuwasili pia na watoto wake Brooklyn, Romeo, Cruz na Harper. Sir Elton ni baba wa ubatizo wa Brooklyn na Romeo.


0 comments:

Post a Comment

Design by hons.CISKO | Blogger Theme by CISKO